Amos 3:12
12 aHili ndilo asemalo Bwana: “Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simbavipande viwili tu vya mfupa wa mguu
au kipande cha sikio,
hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa,
wale wakaao Samaria
kwenye kingo za vitanda vyao,
na katika Dameski
kwenye viti vyao vya fahari.”
Copyright information for
SwhKC